Tuesday, October 31, 2017

WAKAZI WA BAGAMOYO WAKUNWA NA TAMASHA LA EFM MZIKI MNENE

 Msanii wa Muziki wa Hip Pop Nchini, Izo Busines akitoa Burudani kwa wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo katika Tamasha Maarufu la Mziki Mnene lililofanyika katika Bar ya Dunda Dunda linaloandaliwa na Efm Radio kwa kushirikiana na Tv E
 Mkali wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Prince Dully Sykes akiimba na Mashabiki wakati wa Tamasha la Muziki Mnene linaloandaliwa na Radio ya Efm na Tv E ambalo lilifanyika katika Bar ya Dunda Dunda Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
 RDJ Mamy kutoka Efm Radio akitoa burudani kwa wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo kwenye Tamasha la Mziki Mnene lililofanyika katika Bar ya Dunda Dunda
  Mkali wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Prince Dully Sykes akiimba na Mashabiki wakati wa Tamasha la Muziki Mnene linaloandaliwa na Raido ya Efm na Tv E ambalo lilifanyika katika Bar ya Dunda Dunda Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
 Msanii Mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Dudubaya akitoa Burudani kwa Mashabiki wake wa Bagamoyo katika Tamasha la Mziki Mnene lililoandaliwa na Efm Radio.
 Mkali wa Muziki wa Singeli nchini Msaga Sumuakitoa burudani kwa wakazi wa Bagamoyo wakati wa Tamasha la Muziki Mnene lililoandaliwa na Kituo cha Radio cha Efm na Tv E katika Bar ya Dunda Dunda.
  Mkali wa Muziki wa Singeli nchini Msaga Sumuakitoa burudani kwa wakazi wa Bagamoyo wakati wa Tamasha la Muziki Mnene lililoandaliwa na Kituo cha Radio cha Efm na Tv E katika Bar ya Dunda Dunda.
 RDJ Timber Mtu Mbaya akitoa Burudani kwa wakazi wa Bagamoyo wakati wa Tamasha la Mziki Mnene lililoandaliwa na Efm Radio na  Tv E.
 RDJ Black kitoa Burudani kwa wakazi wa Bagamoyo wakati wa Tamasha la Mziki Mnene lililoandaliwa na Efm Radio na  Tv E.
Mashabiki wakishangilia Tamasha la Efm MZIKI MNENE Katika Bar ya Dunda Dunda Bagamoyo.

No comments: