Thursday, November 29, 2012

UZINDUZI WA SIKU YA KINYWA NA MENO KITAIFA


 Mganga Mkuu wa Meno Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Ahadiel Senkoro akimkagua meno mwanafunzi wa Shule ya Liones Miburani, Said Mkuki alipokuwa akizindua Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa, Dar es Salaam jana. Kulia ni Rais wa Chama cha Madaktari wa Meno Tanzania, Dk.Rachel Mhaville na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Tunsume Mwaigwisya.(kulia). (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)

 Mmoja wa madaktari akielekeza wanafunzi jinsi ya kusafisha meno
 Mmoja wa wanafunzi akikaguliwa kinywa chake na Daktari



 Wanafunzi wakigawiwa dawa za meno
 Madaktari wakizungumza na wanafunzi
 Mmoja wa akina mama akipata huduma

 MansoorDaya Chemical co. Ltd, Mwakilishi wa Masoko Agnes Rwekaza, akionesha miswaki na dawa zinazotengenezwa na kampuni hiyo
 Baadhi ya madaktari walioshiriki katika uzinduzi huo
                                                       Walimu wa Shule ya Umoja na Liones

No comments: