Sunday, January 29, 2012

sbl yazindua muonekano mpya wa dhahabu wa kinywaji cha serengeti premium lager.

Chupa mpya ya Serengeti  Premium Lager yenye muonekano wa Dhahabu, ikiibuka kutoka kwenye maji mara baada ya kuzinduliwa rasmi usiku wa kuamkia leo,huku wageni waalikwa mbalimbali wakilishuhudia tukio hilo.

Mgeni rasmi,Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Masoko B. Joyce Mapunjo akizungumza na baadhi ya vyombo vya habari,mara baada ya uzinduzi huo uliofanyika usiku wa kuamkia leo,jijini Dar na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali.
 Cheeersss....!
 Mdau akicheers na meza kuu..!

Mgeni rasmi,Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Masoko B. Joyce Mapunjo akiwa na viongozi wa kuu wa SBL pamoja na wadau wa kinywjai hicho wakiwa katika picha ya pamoja.

Mgeni rasmi,Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Masoko B. Joyce Mapunjo akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo ya mabadiliko ya muonekano mpya wa kinywaji cha Serengeti Premium Lager.iliyofanyika Golden Tulip,jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Richard Wells akizungumza katika uzinduzi huo wakati alipomkaribisha mgeni rasmi,Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Biashara na Masoko B. Joyce Mapunjo.
Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia ya Serengeti,Bw.Ephraima Mafuru akizungumzia mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika taifa kupitia kinywaji murua kabisa cha Serengeti premium Lager.
Meneja wa Kinywaji cha Serengeti Premium Lager,Allan Chonjo akiwakaribisha wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo usiku wa kuamkia leo ndani ya Hotel ya Golden Tulip,jijini Dar.
 Muonekano mpya wa dhahabu unaosisimua.
 Muonekano mpya wa dhahabu unaowasisimua wengi kama hivi pichani.
Moja ya kikundi cha ngoma za asili kikitumbuiza usiku huu kabla ya uzinduzi rasmi kufanyika.
Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia ya Serengeti,Ephraim Mafuru akiongea na Mkurugenzi wa Extra Bongo Mzee wa farasi Ali Choki , kulia ni Meneja Masoko wa (SBL) Emilian Rwejuna.
 Meneja Masoko wa (SBL) Emilian Rwejuna (kati) akiwa na wadau.
Meneja wa kinywaji cha Tusker,Rita Mchaki akiwa na mdau kwenye uzinduzi huo.
Wadau ndani ya uzinduzi wa muonekano mpya wa dhahabu wa kinywaji cha Seregengeti Premium Lager
 Serengeti bia yetu,kinywaji chetu kwa rahaaa zetuuuu...!
Pichani wanne kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Richard Wells,akiwa na wageni waalikwa mbalimbali usiku huo.

Bendi ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ikitumbuiza kwenye uzinduzi huo.
Shoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Richard Wells,  Mkurugenzi wa Masoko kampuni ya bia ya Serengeti,Ephraima Mafuru na Meneja wa Mahusiano kampuni ya bia ya Serengeti Nandi Mwiyombela wakijadiliana jambo kabla ya uzinduzi rasmi kufanyika.
Wadau,wageni waalikwa mbalimbali wakiserebuka kwanza huku wakisubiri kwa hamu uzinduzi huo mpya wa dhahabu wa kinywaji cha Serengeti Premium Lager,usiku wa kuamkia leo kwenye hotel ya  Golden Tulip,jijini Dar.

No comments: