Monday, May 30, 2011

Da'Emmy na shemeji Dr Michael walipomeremeta

Da'Emmy na marafiki
Da'Emmy na Dr Michael na marafiki
Mzee Maokola Majogo, maharusi na Balozi Francis Mndolwa na Mama Mndolwa
Mzee Majogo akitambulisha familia na maharusi
Mzee Majogo na marafiki wakifurahia harusi
Zawadi ya Mgolole wa Kimasai kwa Shemeji Dr Mkichael
Mama Majogo na wanafamilia katika msosi
Shemeji Dr Michael na  Da' Emmy mnusoni
Shemeji Dr Michael akimwaga kiduku


Da'Emmy na Dr Michael
Da'Emmy akimnyonga  Dr. Michael
Rais Mstaafu Mh. Benjamin William Mkapa awapongeza maharusi
Ni wakati wa kuchukua chakula
Da'Emmy akifurahi na mai hazbendi wake, Dr Michael
Mzee Majogo akimtambulisha Meja Jenerali mstaafu Anatory Ruta Kamazima
Mzee Majogo akiitambulisha familia yake
Rais Mstaafu Mh. Benjamin William Mkapa atambulishwa
Maharusi wapokewa kimila baada ya kuwasili Giraffe hotel
Maharusi wakiwasili mnusoni Giraffe Beach
Da'Emmy na Dr Michael baada ya kumeremeta kanisa la Katoliki la Boko Jumamosi
'I do.... " anasema Da' Emmy
Mchungaji akiunganisha wawili wawe mwili mmoja
Maharusi wa,kati wa kumeremeta kwao
Maharusi wakikaribishwa kanisa Katoliki la Boko jijini Dar


No comments: