Wednesday, June 4, 2014

MAREHEMU GEORGE TYSON AAGWA LEO JIJINI DAR







































































1 comment:

Anonymous said...

Nawapeni pole nyingi sana wafiwa wote jamani mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Safari bado ni ndefu ya kuelekea Kisumu nchini Kenya kumpumzisha mpendwa wetu kwenye nyumba yake ya milele, hivyo watoto wake na watoto wake nawaombea mungu awape nguvu na uvumilivu katika hali zote.

Naomba sote tuamini kwamba ratiba za mungu haziingiliwi wala hazibadilishwi, hivyo kwa mungu ilishapangwa kwamba siku, tarehe na mwaka fulani ndugu yetu ataanza maisha mengine ya uko kwa muumba.

Tunawaombeeni familia muwe na upendo, mshikamano na maelewano na hasa katika kuwalea watoto wa marehemu. Washikamanishe watoto na hasa ikizingatiwa kuwa ndugu zao upande wa baba yao wako mbali nao (Kenya), sasa kazi kwenu nyie mama zao kuelewana na kuwa mnawapeleka watoto walau mara moja moja kwao. Ni ushauri tu si lazima iwe hivyo.

Pole kwa mara nyingine tena wapendwa familia ya marehemu.